Aliyekuwa mchezaji wa timu ya Brazil
Ronaldo alilazimika kuosha vyombo baada ya kushindwa katika mchezo wa
karata na mchezaji wa tennisi Rafa Nadal,na kumfanya mchezaji huyo wa
tenisi kupokea dola 50,000 za hazina yake ya kutoa msaada huku Ronaldo
akiosha vyombo.
Duru ziliarifu kwamba kiini cha nyota hao wawili kukutana katika chumba kimoja ni chakula kilichoandaliwa katika hafla hiyo.
Hatahivyo kitu kilichowafurahisha wengi kulingana na wageni ni hatua ya Ronaldo kukubali kushindwa na kupewa kazi ya kuviosha vyombo vya Nadal alivyotumia kula.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa website ya bbcSwahili.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.