Amesema yuko tayari kulipa
euro million 22 kama ada ya uhamisho na kumlipa mshahara wa pound laki
mbili Raia huyo wa Uingereza aliyezaliwa mwaka 1985.
kwa namna
arsenal ilivyoimarika kwenye kiungo,kama watampata Rooney na Higuain ni
wazi kwamba watakuwa wazuri pia kwenye safu ya ushambuliaji.
0 comments:
Post a Comment