Searching...
Image and video hosting by TinyPic
22 June 2013
Saturday, June 22, 2013

ALBERTO ATUA RASMI ANFILED


Liverpool Football Club leo imekamilisha usajili wa fowadi raia wa Spain Luis Alberto kutoka klabu ya Sevilla na anataajiwa kutinga jezi namba 9.

kama tulivyotaarifu jana mchezaji huyo wa zamani wa Sevilla Luis Alberto alifanya uchunguzi wa afya klabuni Liverpool jana Ijumaa baada ya dili litakalowatoa Reds kiasi cha £6.8million kufikia muafaka.

Kinda huyo mwenye miaka 20, msimu uliopita alikua kwa mkopo Barcelona B na alitarajiwa kubakia Sevilla, lakini kutokana na ukata wa pesa klabuni hapo timu hiyo imeamua kumuacha mshambulizi huyo kwa shingo upande aondoke.

0 comments:

Post a Comment

 
Back to top!