NIONAVYO MIMI:JOSE MOURINHO HAWEZI TIMIZA NDOTO ZA BOSI WAKE.
Home
»
Unlabelled
» NIONAVYO MIMI:JOSE MOURINHO HAWEZI TIMIZA NDOTO ZA BOSI WAKE.
Na Oscar Oscar Jr
Roman Abromovic anataka vitu viwili kwa wakati mmoja na kwa
Mourinho,anaweza kumpatia kitu kimoja tu.Wakati ameichukuwa chelsea kwa
mara ya kwanza alimwita Mourinho kwa kazi moja tu,kuchukuwa taji la EPL
na Mourinho alitimiza hilo.
Baada ya kupata ubingwa wa
EPL,akawa anataka zaidi ubingwa wa ulaya.Di Mateo na Benitez wakaja na
kumpatia.Nikadhani katosheka,mara nikasikia anataka timu icheze kama
Barcelona!!
Chelsea ya Benitez ingeweza kutimiza ndoto za Roman
Abromovic.Oscar,Mata na Hazard walikuta wametengeneza burudani ya
hatari,huku Mikel na Ramires wakilinda vema beki ya kati kwenye
midfield.
kaja huyu "bomoa bomoa" sioni dalili za kutimiza
jambo hilo.Chelsea wakijaribu kupiga pasi nyingi,yeye ananuna! Anawaza
magoli tu.Nadhani Bosi amuache tu jamaa atafute goli lake moja then
alaze Bus lake chini otherwise,atakosa kila kitu.
0 comments:
Post a Comment