Searching...
Image and video hosting by TinyPic
3 July 2013
Wednesday, July 03, 2013

ROONEY ATUA 'USO WA MBUZI' KUKUTANA NA MOYES AKIWA NA RANGE KAMA WANAZOTUMIA BAKHRESA, MANJI NA HANS POPPE DAR

MSHAMBULIAJI Wayne Rooney amewasili kukutana na kocha mpya wa Manchester United, David Moyes juu ya mustakabali wake katika klabu hiyo asubuhi ya leo.
 
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 hakuonekana aliye vizuri wakati anaendesha gari lake aina ya Range Rover Rover ambalo kwa Tanzania wanatumia matajiri kama Yussuf Bakhresa wa Azam, Yussuf Manji wa Yanga na Zacharia Hans Poppe wa Simba, katika eneo la Uwanja wa mazoezi vya United majira ya saa 3.30 asubuhi, sawa na tano kwa Dar es Salaam.
 
Amekutana na kocha Moyes kujadili mustakabali wake baada ya kupoteza mawasiliano na Sir Alex Ferguson msimu uliopita. Rooney aliondoka Carrington saa 6.45 mchana, sawa na saa nane kwa Tanzania.
Back: Wayne Rooney arrived at Manchester United's Carrington base in his Range Rover this morning
uso wa mbuzi: Wayne Rooney akiwasili Uwanja wa mazoezi wa Manchester United, Carrington na Range Rover lake la rangi ya fedha
Meeting: The 27-year-old is set for crunch talks with David Moyes about his future today
Mkutanoni: Anakwenda kukutana na David Moyes 
In style: Rooney drove into Carrington at around 9.30am in his silver Range Rover
Kwa mitindo: Rooney akiendesha gari maeneo ya Carrington
Early start: Moyes drove into Carrington at around 7.30am on Wednesday morning
Kocha naye: Moyes naye aliwasili Carrington mapema tu saa 1.30 asubuhi leo
Early start: Moyes drove into Carrington at around 7.30am on Wednesday morning
Good to be back: Rio Ferdinand arrived at Carrington on Wednesday for the first day of pre-season training
Huyu anafurahi kurejea kazini: Rio Ferdinand akiwasili Carrington leo mwenye furaha tayari kuanza maandalizi ya msimu mpya

0 comments:

Post a Comment

 
Back to top!