Searching...
Image and video hosting by TinyPic
27 May 2013
Monday, May 27, 2013

MAONI YAKE JUU YA KUITWA KWA TORRES NA CASSILAS TIMU YA TAIFA

                
Kwa Torres nadhani Del Bosque anataka kubadili mfumo na kuwa na Mshambuliaji halisi na kuachana na mtindo aliokuwa anamtumia Fabregas kama mshambuliaji wa uongo.
 
Kwa Cassilas mi naona kakosea kwasababu hajacheza kwa muda mrefu na golikipa Diego Lopezi ameonesha kiwango kizuri pale Madrid. Tatizo Del Bosque na wahispania wengi wanataka kumprove Mourinho wrong na si vinginevyo.

0 comments:

Post a Comment

 
Back to top!