Searching...
Image and video hosting by TinyPic
15 November 2013
Friday, November 15, 2013

AVB ANAMUONEA ADEBAYOR

NIONAVYO MIMI KWA ADEBAYOR NA KAKA YAKE AVB.
 

Na Oscar Oscar Jr
 

Adebayor ana mika 29 tu,baba na mama yake ni Raia na wazawa wa Nigeria ingawa yeye ni Raia wa Togo kutokana na kuzaliwa nchini humo.

Soldado tangu ametua SPURS hakuna anachofanya zaidi ya kusubiri penalty ili afunge,Defoe naye hapewi muda wa kutosha.ukiniuliza AVB anatumia kigezo gani kumtema Adebayor,sijui!

Katika hali ya kawaida,siamini kama Adebayor angekuwa hajafikisha hata goli 6 katika mechi 10 spurs alizocheza.

Huyu Adebayor siku mzee wenger akifanya U-TURN kama ya Flamini na kuja kucheza mbele ya Ozil na Carzola,dunia itamuona mpya.

Kwa namna washambuliaji wa SPURS walivyo butu,siamini kama Adebayor anawekwa benchi kihalali.Anastahili kupewa nafasi na AVB.

I'm sorry!


0 comments:

Post a Comment

 
Back to top!