Searching...
Image and video hosting by TinyPic
1 July 2013
Monday, July 01, 2013

NEYMAR AMUITA ROONEY BARCA, AMUAMBIA NDIYO SEHEMU INAYOMFAA MCHEZAJI MZURI KAMA YEYE


NYOTA wa Brazil, Neymar amemtaka mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kufikiria kuhamia Barcelona, akisema itakuwa ni ndito kucheza na mshambuliaji huyo wa England. 
 
Neymar, ambaye mwenyewe amejiunga na timu hiyo ya Katalunya mapema majira haya ya joto kwa dau la Pauni Milioni 48.6 kutoka Santos ya Brazil, ameitaja Camp Nou kama kituo sahihi kwa mchezaji mwenye kipaji kama Rooney. 
 
Nyota huyo wa Samba, aliyefunga bao tamu wakati Brazil ikiichapa 3-0 Hispania jana katika Fainali ya Kombe loa Mabara, amesema: "Mtindo wa soka tunaocheza (Barcelona) na viwango vya wachezaji tulionao- ni klabu sahihi kwa wachezaji wakubwa kujiunga nayo,". 
 
Star man: Neymar played a key role as Brazil won the Confederations Cup
Nyota: Neymar alitoa mchango mkubwa kwa Brazil kutwaa Kombe la Mabara
Tormentor: Neymar ran tirelessly at Ramos and the Spain back four in a sensational showing
Neymar akiwatoka mabeki wa Hispania jana
Uncertain future: Wayne Rooney will have talks with David Moyes this week
Wayne Rooney atakuwa na mazungumzo na kocha mpya David Moyes kesho juu ya mustakabali wake Man United
Neymar
Lionel Messi
Dream Team: Neymar na Lionel Messi wataongoza safu ya ushambuliaji ya Barcelona msimu ujao

0 comments:

Post a Comment

 
Back to top!