Searching...
Image and video hosting by TinyPic
10 June 2013
Monday, June 10, 2013

NIONAVYO MIMI FLORENTINO PEREZ NI KAMA MBONGO TU.


                                                                                       




Cristiano Ronaldo alishaweka wazi kwamba,kama Real Madrid wanataka aendelee kubaki santiago Bernabeu issue ni rahisi tu,wamfanye awe mchezaji anayelipwa zaidi Duniani.

PEREZ analeta siasa zake za kibongo,anaita waandishi wa habari na kumpamba sana RONALDO wakati wallet yake hachomoi noti.Anaongea sana kuliko vitendo,mara ooh,RONALDO atastaafu hapa!!,mara ooh haendi popote!!

huyu kijana anamatumizi mengi we unadhani huyu aliyenaye hapa atampa siasa au noti??

0 comments:

Post a Comment

 
Back to top!