.
The Black Stars wanahitaji ushindi katika mechi hiyo ili kufufua matumaini ya kufuzu kwa fainal hizo ambazo zitafanyika mwakani kule BRAZIL.Kundi lao linaongozwa na Zambia huku Ghana wakishika nafasi ya pili. Kwesi Appiah ndiye kocha mkuu wa GHANA na amejianda vya kutosha kwa ajili ya mchezo huo.
0 comments:
Post a Comment