Searching...
Image and video hosting by TinyPic
22 May 2013
Wednesday, May 22, 2013

UMEMSKIA NGASSA?

RAFIKI YANGU MRAMBA NDO KANIPA HII

Anasena "
Juzi nilikuwa nasikiliza amplifaya ya millard ayo cloudz fm.
Habari ya kwanza ilikuwa inamhusu MRISHO NGASSA.
Amehojiwa anasema alizaliwa mwaka 1989 nikaguna,
Then akasema ana mke na watoto watatu, nikaguna tena.
Afu akasema mtoto wake wa kwanza ana miaka 9, nikachukua pen na karatasi.
Nimebaini ana miaka 24, na kama ana mtoto wa miaka 9 inamaana huyo mtoto alimpataakiwa na miaka 15 tena ndani ya ndoa.
NIKAZIMA RADIO na kuanza kuchat "

0 comments:

Post a Comment

 
Back to top!