Searching...
Image and video hosting by TinyPic
22 May 2013
Wednesday, May 22, 2013

hiki ndicho wanachosema AZAM FC

Kumekuwa na maswali mengi kwa nini Azam FC haishiriki CECAFA Kagame Cup mwaka huu, hata sisi kama Azam FC tungependa kushiriki lakini kuna vigezo vya kushiriki ambavyo tunadhani hatuna... awali tulidhani kwa kuwa sisi ni washindi wa pili kwenye ligi kuu kwa mwaka wa pili mfululizo na Yanga ni Bingwa mtetezi na Bingwa wa Tanzania basi tungeshiriki lakini kwa maelezo tuliyopata ni kuwa CECAFA na TFF wamechukua Bingwa wa Mwaka jana na Bingwa mtetezo wa Kagame Cup. kwa sababu hiyo wachezaji wa Azam FC wamepewa likizo na watarejea kujiandaa na ligi kuu msimu wa 2013/14

0 comments:

Post a Comment

 
Back to top!