Searching...
Image and video hosting by TinyPic
29 May 2013
Wednesday, May 29, 2013

MAONI JUU YA MOYES VS MOURINHO




 Oscar kwa mtizamo wangu kama Mourinho akija,na uwepo wa Moyes Man united! Kwanza inaleta chachu mpya kwenye soccer la EPL nikimaanisha wadau tunakuwa na shauku ya kuona new management,new tactics etc! Ila nadhani swala la nani atafanikiwa ni ngumu kujua,coz hizi club zina philosopy na malengo! Man u they have Long term focus while chelsea,Short term! It might be tough for Mourho..kama hatasajiri vizuri!

0 comments:

Post a Comment

 
Back to top!