Searching...
Image and video hosting by TinyPic
7 June 2013
Friday, June 07, 2013

GHANA VS ZAMBIA WAVUTANA MASHATI

                                       

NIONAVYO MIMI KWENYE MAKUNDI YA KUFUZU 
KOMBE LA DUNIA AFRIKA.

KUNDI A

1.Ethiopia pts 7
2.South Africa pts 5
3.Central Africa pts 3
 

 4.Botswana pts 1

ukiangalia hapa unaweza kugundua kwamba Botswana wakacheze makhirikhiri yao tu,hakuna matumaini yakufuzu.Afrika kusini nao waangalie,itakula kwao ila bado wananafasi.


KUNDI B

1.Tunisia pts 9
2.Siera Leone pts 4
3.Equatorial Guinea pts 4
4.Cape verde pts 0

hapa nadhani Tunisia wametisha sana na kama watashinda mechi yao ijayo mambo yatakuwa bambam upande wao.wameshinda mechi zote 3 za awali.


KUNDI D

1.zambia pts 7
2.Ghana pts 6
3.Lesoto pts 2
4.Sudan pts 0

Leo Ghana wanashuka dimbani vs Sudan na nilazima washinde kama wanataka kumaliza wa kwanza.Naona wakaso na Gyan tayari watakuwepo kwenye timu inayoanza


0 comments:

Post a Comment

 
Back to top!