SOKA STADIUM
Kwa habari na uchambuzi wa SOKA
(Move to ...)
▼
6 June 2013
Unajua Alichokifanya Frank Ribery leo?
KIJANA WA THE BAVARIANS
huyu ni winga wa timu ya taifa ya ufaransa na mabingwa wa ulaya bayern munich leo kaongeza mkataba wa miaka miwili ambao utamuweka na BAVARIANS hadi 2017.Winga huyu kazaliwa mwaka 1983
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment