4 June 2013

SIMBA SC



NIONAVYO MIMI LEO HAPA KINETH

Kwa sasa Simba wamemaliza mazoezi hapa Kineth jijini Dar es salaaam.Huyu kwenye picha ni JULIO maneno mengi kwa sasa anakunywa supu hapa nje,NgoJa na mimi nikae karibu YaKe nipate supu na burudani ya maneno yake.
                                                   
 

No comments:

Post a Comment