JUMA KASSEJA ANAWEZA KUPIGWA CHINI
habari za ndani kutoka Simba zinasema kuwa kipa Juma Kaseja
yupo shakani kuachwa kutokana na Simba kuwa na makipa watatu; Abel
Dhaira wa Uganda, Andrew Ntala aliyekuwa Kagera Sugar na Abuu Hashimu
anayechezea kikosi cha vijana chini ya miaka 20.

No comments:
Post a Comment