coastal union wanakuja juu
Kiungo mshambuliaji, Kenneth Masumbuko
akisaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Coastal Union.....Masumbuko
anatumia guu la kushoto, ana nguvu, ana umbo pana mithili ya Kipre
Tchetche wa Azam...ni mzuri katika kukrosi mipira....na atatengeneza
mabao mengi katika upande wa kushoto huku Haruna Moshi Boooban
akitengeneza mabao kupitia katikati...mbele yao kuna mtu analetwa...tega
sikio
No comments:
Post a Comment