29 May 2013

DAVID MOYES VS MOURINHO


 Mi nachokiona hapa kutakuwa na upinzani mkubwa sana ila mwisho wa siku david moyes atastrugle msimu mmoja tu then akishakaa sawa ni mwendo mdundo.......mourinho hana mipango ya muda mrefu anawaza kushinda mechi iliyopo mbele yake tu hivyo kama tutawapima hawa watu ndani ya misimu mitatu nampa nafasi moyes.
 
Pia mourinho ni mtu ambaye ameprove kushindwa kudhibiti nidhamu ya timu kwani ye ndo amekua chanzo cha migogoro mingi na kujibizana na wachezaji kitu ambacho kinavuruga hali na morali ya timu kupambana wakati huo huo moyes ni bingwa wa nidhamu.......jamaa ana caliber ya uongozi kiukweli na namtabiria makubwa sana hasa kama ataungaanisha nguvu na rooney na huu ujio wa alcantara na kevin strootman ndio kabisaaaa naiona united ikizidi ku shineees

No comments:

Post a Comment