Na Oscar Oscar Jr
Huwezi kuwa bingwa bila kumfunga bingwa,pengine hii draw imekuja muda
ambao sio muafaka kwa Gunners.Bado wanakizunguzungu na imani imeanza
kuondoka.
January wenger anaweza kumleta striker aina ya Suarez
na mkamvaa Bayern Munich bila wasiwasi.Man city nao wamelamba
Jocker,Barcelona fc.kwa mchezaji mmoja mmoja utaona kama wanalingana
nguvu but team work na historia, vinambeba zaidi Barcelona.
Chelsea na Drogba,hapa patamu sana.Nguvu ya Galatasaray kumng'oa Arturo
Vidal na Tevez itakuja kumkabili Mourinho.Chelsea wako vizuri but
nadhani hii draw itafanya Radamel Falcao atue fasta!
United vs
olympiakosi,hapa ndipo anaponishangaza moyes! UCL nilidhani ndo
ingemsumbua,na EPL akafanya poa,yeye ni viceversa.United ndo pekee kwa
timu za EPL ambao wakipita haitokuwa muujiza.
I'm sorry!
19 December 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment