NIONAVYO MIMI KWA MESSI NA CR7
Na Oscar Oscar Jr
0789-784858
0769-282918
Hawa jamaa wanaongoza soka la Dunia kwa sasa,CR7 akifunga Hat-Trick
leo,kesho yake Messi naye anafunga.CR7 akipiga faulo ya hatari,weekend
ijayo Messi atafanya kama ilele.sasa Mbona Ballon D'or inaenda upande
mmoja tu??
Msimu huu CR7 akichukuwa kiatu cha La Liga kwa
ufungaji bora,Messi atachukuwa cha UCL! Ukisikia CR7 kafunga Hat-Trick
akiwa na ureno wala usiwe na wasiwasi,siku si nyingi utasikia Messi kapiga Hatrick akiwa na Argentine.Sasa mbona Ballon D'or inaenda upande mmoja tu?
Msimu huu mmoja anakuwa mfungaji bora na mwingine anakuwa bingwa wa La
Liga,bingwa wa La Liga anapewa Ballon D'or.Msimu ujao,ikiwa kinyume
chake bado Ballon inabaki pale pale!!
I'm sorry.
16 November 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment