NIONAVYO MIMI KWA RONADINHO,SITAKI KUIDANGANYA NAFSI YANGU.
Na Oscar Oscar Jr
0789-784858
0769-282918
Nimebahatika kumuona Zidane akiwa kwenye ubora wake,Thierry
Henry,Didier Drogba,Raul,Toti,Klose n.k lakini nafsi yangu bado
imekoshwa zaidi na RONALDINHO GAUCHO!
Zama hizi zinatawaliwa na
CR7 na MESSI,wanafanya madoido mengi sana lakini bado hawajafanikiwa
kuifuta picha ya GAUCHO kwenye Ubongo wangu.
Gaucho acha aitwe Gaucho,anakupiga tobo
huku anacheka,Anakuvisha kanzu huku anacheka.Timu ikipata ubingwa wa
Dunia yeye anacheka,ikitolewa Robo fainal bado anacheka!
Haya
magoli tunayobishana siku hizi,yeye alishayafunga kitambo,chenga ndo
usiseme,free kicks ndo baba lao.I'm sorry,GAUCHO baba lao!
Messi,CR7,Ribery chukueni Ballon D'or hata 10 kila mtu still GAUCHO amewafunika wote kwenye Ubongo wangu!
Kabla kina walcott hawajaja na sura zao za mahaba,Gaucho alishawateka wanawake kitambo! Du! Huyu jamaa ni kila kona katimia.
I'm sorry
16 November 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment